Rais wa Marekani,Joe Biden amesema anaunga mkono kusitishwa kwa mapigano kati ya Israeli na wapiganaji wa Palestina na kujadili kuhusu nia hiyo ya Mrekani na Misri pamoja na washirika wengine
Biden amesema hayo katika mazungumzo kwa njia ya simu na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu,Ikulu ya White House imeeleza hata hivyo haikueleza majibu yaliyotolewa na Netanyahu kuhusu msimamo huo wa Biden.
Aidha Biden amerudia kuunga mkono haki ya taifa la Israeli kujilinda dhindi ya mashambulio ya roketi na kuihimiza kufanya jitihada za kuhakikisha ulinza wa rais wasio na hatia.
Habari Zaidi
ETHIOPIA: AJIUNGA CHUO KIKUU AKIWA NA MIAKA 69
MWANDAAJI MISS RWANDA KUFUNGULIWA MASHITAKA YA UHALIFU WA KINGONO
KENYA: ODINGA AMTEUA MARTHA KARUA KUWA MGOMBEA MWENZA WA URAIS