Baraza la Taifa la Mashirika yasiyo ya Kiserikali (NACONGO) limefanya uchaguzi leo Jijini Dodoma na kupata viongozi wapya watakaohudumu kwa muda wa miaka mitatu.Waliochaguliwa ni kama ifuatavyo:
Mwenyekiti wa Baraza: Lilian Badi
Katibu Wa Baraza – Revocatus Sono
Muweka Hazina – John Kiteve
Wenyeviti wa Kamati:
1.Kamati ya Fedha -Gaidon Haule
2. Kamati ya Maadili – Novatus Marandu
3. Kujenga Uwezo – Rhobi Samwel 4.Kamati ya Mawasiliano.. Asifiwe Mallya
Wajumbe Wa Bodi.
i) Balthazar Komba
ii) Jane Magigita
iii) Paulina Majogoro

Habari Zaidi
DCI KINGAI ASISITIZA WAZAZI KUZINGATIA MALEZI BORA KWA WATOTO WAO ILI KUPUNGUZA UKATILI
THRDC,C-SEMA YAENDESHA MAFUNZO KWA POLISI NA WAENDESHA MASHITAKA