Mkuu wa zamani wa Jeshi la Uganda na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi nchini Uganda,Jenerali Katumba Wamala amejeruhiwa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana karibu na nyumbani kwake mjini Kampala.
Kwa mujibu wa mashuhuda wanasema watu hao wenye silaha waliomshambulia Waziri huyo walikuwa kwenye pikipiki.
Jenerali Wamala alikuwa mkuu wa jeshi la Uganda mwaka 2013 hadi 2017 na akapewa cheo cha waziri wa ujenzi na uchukuzi pia ni miongoni mwa wabunge 10 wanaowakilisha jeshi la Uganda katika bunge
Habari Zaidi
ETHIOPIA: AJIUNGA CHUO KIKUU AKIWA NA MIAKA 69
MWANDAAJI MISS RWANDA KUFUNGULIWA MASHITAKA YA UHALIFU WA KINGONO
KENYA: ODINGA AMTEUA MARTHA KARUA KUWA MGOMBEA MWENZA WA URAIS