Shirika la Kimataifa la Kutetea Waandishi wa habari (CPJ) limesema kuwa kwa mwaka 2020 takribani waandishi wa habari 32 duniani pote wameuwawa kutokana na kazi wanazofanya.Kati ya hao 22 wamepoteza maisha kutokana na visasi kuhusu namna wanavyoripoti taarifa zao
Translation
The Committee to Protect Journalists said that Globally,atleast 32 journalists were killed due to their work in 2020 and out of them 22 were killed due to retaliation for their reporting
Shirika la Kimataifa la Kutetea Waandishi wa habari

Habari Zaidi
ETHIOPIA: AJIUNGA CHUO KIKUU AKIWA NA MIAKA 69
MWANDAAJI MISS RWANDA KUFUNGULIWA MASHITAKA YA UHALIFU WA KINGONO
KENYA: ODINGA AMTEUA MARTHA KARUA KUWA MGOMBEA MWENZA WA URAIS