Mahakama ya Wilaya ya Shinyanga imemhukumu, Petro Maro kifungo cha miaka 30 jela baada ya kukutwa na hatia ya kumbaka mtoto wake wa kike mwenye umri wa miaka 13.Hakimu Mfawidhi,Ushindi Swalo ametoa hukumu hiyo hii leo katika kesi hiyo ya jinai Na.175/2020.
Shirika la AGAPE ACP limeipongeza Serikali kupitia mamlaka zake, jamii na wadau kwa namna walivyotoa ushirikiano hadi haki imetendeka na kutoa wito kwa jamii kuepuka na kukemea vitendo vya ukatili dhidi ya watoto.
Habari Zaidi
BULAYA AHOFIA MUSTAKABALI WA WANAHABARI SAMIA AKIONDOKA MADARAKANI
THRDC YAKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA UBALOZI WA JAPAN
THRDC YAWAJENGEA UWEZO WANACHAMA WAPYA WA MTANDAO