SABAYA KIZIMBANIAliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai,Lengai Ole Sabaya amefikishwa mahakamana ya hakimu mkazi Arusha hii leo ili kusomewa mashitaka yanayomkabili.
Sabaya alisimamishwa kazi na Rais Samia Suluhu kupisha uchunguzi wa tuhuma mbalimbali zinazomkabili
Habari Zaidi
DCI KINGAI ASISITIZA WAZAZI KUZINGATIA MALEZI BORA KWA WATOTO WAO ILI KUPUNGUZA UKATILI
THRDC,C-SEMA YAENDESHA MAFUNZO KWA POLISI NA WAENDESHA MASHITAKA