Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan hii leo amefanya uteuzi wa majaji wa mahakama kuu wapatao 21, Majaji 7 wa mahakama ya Rufaa, huku akimuongezea muda wa miaka 2 Jaji Sivangilwa Sikalalilwa Mwangesi mmoja wa majaji wa mahakama ya Rufani.
RAIS SAMIA ATEUA MAJAJI WA MAHAKAMA KUU NA MAHAKAMA YA RUFANI

Habari Zaidi
KIKOSI KAZI KITASAIDIA KULETA MARIDHIANO – JK
NI MIAKA MITANO SASA TOKEA LISSU ASHAMBULIWE