Mratibu Kitaifa wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC ), Onesmo Olengurumwa (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na wabunge wa viti maalumu ,Neema Lugangira (kushoto) na Fatma Toufiq (kulia) ambao wote wametokea kwenye uzao wa Asasi za Kiraia
Onesmo Olengurumwa amehudhuria bunge hii leo Mei 24,2021 kwa ajili ya shughuli za kiofisi akiwa kama mgeni wa Mh. Fatma Toufiq ambaye pia ni muanzilishi wa shirika la WOMEN WAKE-UP (WOWAP) ambalo pia ni mwanachama wa Mtandao kutoka kanda ya kati.

Habari Zaidi
BULAYA AHOFIA MUSTAKABALI WA WANAHABARI SAMIA AKIONDOKA MADARAKANI
THRDC YAKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA UBALOZI WA JAPAN
THRDC YAWAJENGEA UWEZO WANACHAMA WAPYA WA MTANDAO