Na Antony Benedicto
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr. Tulia Ackson amechukua fomu ya kuwania nafasi ya uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, itakumbukuwa ni siku chache baada ya aliyekuwa Spika wa Bunge Job Ndugai kujiudhulu ambapo Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza kwa mchakato wa kichama kwa wanaotaka kuchukua fomu ili kuwania nafasi hiyo.
Habari Zaidi
KIKOSI KAZI KITASAIDIA KULETA MARIDHIANO – JK
NI MIAKA MITANO SASA TOKEA LISSU ASHAMBULIWE
SHAHIDI JAMHURI AELEZA KINA MBOWE WALIVYOSUKA MPANGO WA KUTENDA UGAIDI