Na Neima Kisanga
Shirika la umeme Tanzania (Tanesco), alitamuongezea muda Mkandarasi wa Kampuni ya Arab Contractor pamoja na Kampuni ya Elsewedy Electric kutoka Misri wanaojenga bwawa la kufua umeme wa megawati 2,115 wa Julius Nyerere pamoja na kuomba kuongezewa muda
Alisema hayo Mkurugenzi Mtendaji wa shirika hilo , Dk Titto Mwinuka akiwa pamoja na timu ya Mkurugenzi na Makamishna wa wizara ya fedha wakiwa wametembelea mradi huo uliopo katika maporomoko ya maji ya mto Rufiji Wilayani Rufiji Mkoani Pwani
Dk Mwinuka alilazimika kuongea hayo baada ya kuulizwa swali na Makamishna wa Wizara ya fedha
Tumekuwa tukitoa ushirikiano wa Hali ya juu na Mkandarasi wa mradi huu na tunatarajia kuona ujenzi wote unakamilika kwa muda mwafaka na hatutokubali kuongeza muda mwingine, nukuu ya Dk Mwinuka.
Habari Zaidi
DCI KINGAI ASISITIZA WAZAZI KUZINGATIA MALEZI BORA KWA WATOTO WAO ILI KUPUNGUZA UKATILI
THRDC,C-SEMA YAENDESHA MAFUNZO KWA POLISI NA WAENDESHA MASHITAKA