Askofu Josephat Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima na mbunge wa jimbo la Kawe kwa tiketi ya CCM akiomba kubadilishiwa kiti alichoandaliwa kukaa wakati kikao cha kuhojiwa na tayari kuhojiwa na Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kuhusu tuhuma za kusema uongo na kushusha hadhi na heshima ya Bunge jijini Dodoma leo



Habari Zaidi
KIKOSI KAZI KITASAIDIA KULETA MARIDHIANO – JK
NI MIAKA MITANO SASA TOKEA LISSU ASHAMBULIWE
SHAHIDI JAMHURI AELEZA KINA MBOWE WALIVYOSUKA MPANGO WA KUTENDA UGAIDI